Sunday, May 13, 2012

KONGAMANO NA INDIAFRICA LILIVYOFANA

 Mmoja ya watoa mada kwenye kongamano hilo akifafanua jambo.
 Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo wakifuatilia kwa makini.
 Jopo la watoa mada kwenye kongamano hilo wakifuatilia kwa karibu wachangiaji wa mjadala huo


 Mtoa mada kutoka nchini India akifafanua jambo
 Picha ya juu ya washiriki wa mjadala kuhusiana na Indiafrica kwenye ukumbi wa Nkurumah wa Chuo kikuu cha Dar es salaam-UDSM
Mmoja ya washiriki wa kongamano hilo akichangia mada.

No comments:

Post a Comment